PATA GARI LA BURE

PATA GARI LA BURE
bonyeza neno APPLY kwenye picha juu ujishindie gari

Apr 15, 2017

YANGA YATIA AIBU UGENINI

Wawakilishi pekee wa Tanzania kwenye mashindano ya shirikisho timu ya Yanga yapigwa bao nne bila huruma na warabu wa Algeria mchezo wa kwanza ilichezwa hapa Tanzania Yanga walishinda 1 kwa 0 bao lilofungwa na kiunguo wao Mzambabwe (Kamusoko). kazi ili dhaniwa kuwa itakua rahisi ambao walihitaji sare au ushindi ili waweze songa mbele lakini haikuwa hivyo kwani leo wamekubali kunyukwa mabao manne kwa bila



Kessy akifanya yake Taifa wakati Yanga ikiwadhibu Waarabu 


No comments:

Post a Comment