PATA GARI LA BURE

PATA GARI LA BURE
bonyeza neno APPLY kwenye picha juu ujishindie gari

Apr 19, 2017

JUVENTUS YALIPIZA KISASI KWA BARCELONA

Katika uefa raundi ya 8 2017, wababe wa ligi ya Italy kwa sasa (Juve) imeshuhudiwa ikilipiza kisasi kwa Barcelona mbayo ili wapiga magoli matatu kwa moja katika fainali za uefa champions leage na Barcelona wakafanikiwa kulichukua kombe hilo, Lakini usiku wa leo 19-04-2017 Juve imewatoa Barca kwa wa jumla ya 3 kwa 0. Katika mchezo wa kwanza Juve waliutumia uwanja wake wa nyumbani vizuri kwa kupata ushindi wa magoli matatu huku Dybala aking'ara katika mchezo huu ambapo alifanikiwa kuchungulia nyavu za Barca mara mbili. Kitu watu wengi walikua wanategemia nikuona Barca akipindua matokeo kama alivyofanya kwa PSG  lakini leo amelazimishwa sare ya bila kufungana (0-0)


No comments:

Post a Comment