PATA GARI LA BURE

PATA GARI LA BURE
bonyeza neno APPLY kwenye picha juu ujishindie gari

Jul 20, 2015

Bastian Schweinsteiger ashangazwa na depay

Bastian Schweinsteiger ashangazwa na kiwango cha Depay.
Mchezaji mpya wa Manchester United, Bastian Schweinsteiger amesema ameshangazwa na kiwango cha mchezaji mwenzake wa United, Memphis Depay akisema ni mchezaji mwenye kipaji hali ya juu.
Wachezaji wote wapya wa United, walipata nafasi ya kucheza mchezo dhidi ya Club America wiki iliyopita.
Bastian amesema "Memphis ni mchezaji mwenye kipaji cha ajabu na yupo katika ubora unaotakiwa na nina uhakika tutakuwa na ushirikiano bora uwanjani "

 Image result for depay memphis

Jul 19, 2015

MBADALA WA NGOMA , KAGAME CUP

Unapokuwa na kikosi kipana huifanya timu yako kuwa salama muda wote endapo mchezaji wa kikosi cha kwanza atakosekana.
Donald Dombo Ngoma mshambuliaji aliyefunga katika kila mchezo toka atue Yanga, atatumikia adhabu ya kadi kwa kukosa mchezo mmoja wa siku ya jumatano dhidi ya Telecom-Djibouti,hata hivyo nafasi yake itazibwa na mchezaji aliye katika kiwango cha juu kwa sasa yaani Kpah Sean Sherman au Malimi Busungu ambao wote ni moto wa kuotea mbali na shughuli zao ni nzito.
Hapo jana kocha wa Kampala City Council Authority (KCCA) alishindwa kujizuia baada ya mtanange kumalizika alimfuata Kpah Sean Sherman na kumuomba namba yake ya simu hii ni baada ya kukoshwa na mpira uliopigwa na M-Liberia huyo.
>>Aingalia ‪#‎LFC‬ itakayokua na msimu mgumu na msimu muhimu zaidi ktk msimu huu ujao
Naitegemea LIVERPOOL itakayokua na MSIMU MUHIMU sana wenye "Kampeni" ya kipekee
>>Amgusia kidogo Brendan Rodgers na kazi ngumu atakayokua nayo.
Mchezaji wa zamani wa Arsenal "Vava Voom" Thiery Henry14 anategemea Liverpool itakayokua na MSIMU MUHIMU zaidi ikiwa na "Kampeni" kubwa na ya Ushindani sana ya kutaka kurudi ktk Champions League baada ya kuipoteza nafac iyo msimu uliopita,akiongea na Skysport anasema Liverpool baada ya kumaliza wa 6 ktk msimamo wa ligi na kua na msimu mbaya na kushindwa fikia lengo la msimu uliopita walipokaribia kuchukua Taji la ligi ambalo wamelikosa kwa miaka 24 sasa.
Na kushindwa kujihakikishia kuwepo UEFA kwa msimu wa pili mfululizo.
Akiendela kusema kua ujio wa Christian Benteke utapunguza kidogo presha kubwa Ings na Origi toka kwa mashabiki mara baada ya kuuzwa Luis Suarez kwa Barcelona na kuumia mfululizo kwa aliekua partner wa Luis ktk mashambulizi Danny Sturridge na kutoweza fanya vizuri kwa wachezaji wageni walioingia,hiyo ilipelekea Manage Brendan Rodgers kua ktk wakati mgumu sana na kupelekea kuitwa na wamiliki wa timu FSG na kufanya maongezi yakawezesha kuendelea na nafasi yake.
"Ni uwendawazimu" kwa Club ka hii kukaa mda mrefu bila kua na Taji la ligi na hii itapelekea kua na presha kubwa sana msimu huu.
Watu watamuuliza Brendan Rodgers mwishoni mwa msmu tokana na jinc alivyoumaliza msimu uliopita,hivyo basi msimu huu ni muhimu sana na kwa Liverpool.
Kama nilivyosema mwanzo kutochukua taji kwa zaidi ya miaka 24,25 au 26 waweza sema ni "Wendawazimu"lkn mambo haya hutokea bila kutarajia.
Lkn Liverpool ni Club KUBWA na yenye HISTORIA ya KIPEKEE kbs,Liverpool ni Club kubwa sana na HAISTAHILI kabisa kua hapo ilipo sasa ukilinganisha na ya msimu wa 2013/2014 ni tofauti na hii ya 2014/2015.
Hivyo basi NAIMANI Liverpool ya msimu huu itakua na msimu mzuri kbs japo utakua msimu mgumu au msimu MUHIMU mno kwao kwa sasa.





by 
Bin Slim

KUSHINDA SIYO BAHATI:

Kushinda mkeka siyo bahati tu maarifa yanitajika hususani katika mpira wa miguu embu angalia huu mkeka una fanana karibia na ule wa post iloyopita kiwango cha kubetia kinafanana, idadi ya mechi niileile na kiwango cha kushinda kinakaribiana, ya kwanza ilikua ni 18,700 lakini mkeka huu ni 18,900. je ungependa kujifunza njia nzuri ya kubet?

TUANGALIE HIKI KIMKEKA TULIKO SHINDA

ni mechi tatu tu kwa buku unapata 18,700. je unataka na wewe kushinda mkwanja wa haraka basi, ni lazima kujifunza njia nzuri za kubet na siyo kwengie ni hapahapa utjifunza kila kitu na hakika utashinda

NGOMA HAJAFANYA KOSA KUBWA

Soka ni mchezo wenye mengi sana uwanjani, baadhi ya wachezaji huitafutia ushindi timu yao kwa namna yoyote ile iwe nzuri ama mbaya!baadhi hujiangusha maksudi kumdanganya refa atoe penati wengine hufunga hata magoli ya mkono yote ni kuhakikisha timu yake itoke na ushindi tu . . Wengine hutumia njia za kuwarubuni wenzao kuwakasirisha ndipo refa atoe adhabu!
Tulishuhudia katika fainali ya kombe la dunia 2006(10 june),Zidane akimpiga kichwa Marco Matterazi ikisemekana kuna maneno aliambiwa , juzi tu hapa katika COPA-America Edson Cavan alilimwa kadi nyekundu kwa kumzaba kibao Gonzalo Jara wengi walimlaumu lakini baada ya marudio ikaonekana Jara akimtia kidole Cavan kama ilivyo kwa tukio la Maguli na Juma Nyoso.
Baada ya kuisumbua vilivyo safu ya ulinzi ya Gor Mahia,ndipo Haroun Shakava akaamua kucheza na hisia za Donald Dombo Ngoma.Beki huyo alimparamia maksudi Donald Ngoma nje ya uwanja ambaye alishindwa kudhibiti hasira zake na kumsukuma kwa jazba Shakava,refa akamuonesha kadi nyekundu Ngoma ikawa heri kwa Shakava pamoja na timu nzima ya Gor Mahia.
Donald Ngoma alitoka akiwa analia,anajutia kwa kushindwa kudhibiti hasira zake mbaya zaidi ni mchezo wake wa kwanza kimashindano kuichezea Yanga,alilia akijua wazi jinsi gani alivyoigharimu timu yake ikiwa dakika ya 24 tu kipindi cha kwanza.
Tunapata nafasi muhimu ya kusawazisha lakini Nadir Haroub Captain anapiga penati ya madoido 'panenka" inagoma,ndio penati ile ile aliyopiga dhidi ya Al - Ahly tuliyomsifia na kuchekelea kuwa anajua lakini jana ikawa tofauti!
Baada ya mchezo kocha wetu Hans Van Pluijm alisema kuna mambo benchi lake la ufundi na wachezaji wamejifunza katika mchezo huo,nnachokiona kwa haraka Donald Ngoma amepata funzo hata Cannavaro kuna kitu kajifunza!Mashabiki wenzangu tujifunze kuwapenda wachezaji wetu katika hali zote na kwa usawa,nawaza tu angekuwa Simon Msuva aliyepewa kadi nyekundu au kukosa penati sijui ingekuaje hapo jana?
Tuonane Jumatano Uwanja wa Taifa saa 10 jioni dhidi ya Telecom ha Djibout.

je benteke ataweza kuziba pengo la Luis Suarez?

Image result for luis suarezImage result for benteke

cheki huu mkeka wa 'both team will score'

am sure hiki kitu lazima kikubali . ungana nami nitakuletea matoke ya huu mkeka

Jul 18, 2015

YOUNG AFRICANS HISTORY IN KAGAME CUP || OPENING MATCH SINCE 1993


Ndugu wananchi, ni wazi na ukweli usiofichika kwamba hakuna mashabiki wanaofurahi timu yao kufungwa. Lakini kufungwa mechi ya kwanza ni NEEMA kuliko kufungwa mechi ya mwisho. Historia inainesha hivyo. Mechi za awali zinatuamsha usingizini kisha tunaanza kwenda kwa kasi kama treni inavyoshuka kutoka mlimani ikiwa imekatika breki.
- Nani kasahau kwamba msimu ulioisha tuliobeba Ubingwa tulianza kwa sare kisha tukacharazwa 3-0 na Mtibwa Sugar.
- Nani kasahau kwamba hata msimu kabla ya Azam FC kubeba ubingwa tulianza hivi hivi kwa kucharazwa na hao hao Wana-Manungu?

SASA TUANGALIE HISTORIA YETU YA KAGAME CUP
Mwaka 1993: Wenyeji wa Kagame Cup wakiwa ni Uganda, mechi ya kwanza tulifungwa 3-1 na wenyeji SC Villa tukakutana nao fainali tukawapiga 2 - 1, ndoo ikatua Jangwani.
Mwaka 1999: Wenyeji wa Kagame Cup wakiwa ni wale wale Uganda, mechi ya kwanza tulifungwa na Rayon Sports ya Rwanda mabao 3 - 0, tukaingia fainali na SC Villa tukashinda kwa penalties na shujaa akiwa ni Peter Manyika Sr. (Baba ake huyu kipa wa Mkia)
Mwaka 2011: Tanzania tukiwa wenyeji wa Kagame Cup, mechi ya kwanza tukatoa 2 - 2 na vigogo El Merreikh ya Sudan, tena magoli manne walifunga wachezaji wa El Merreikh. Fainali tukaingia na Wazee wa Mikataba Feki, tukawabanika 1 - 0, bao la Asamoah kufuatia krosi ya Kigi Makassy.
Mwaka 2012: Tanzania wakiwa wenyeji kwa mwaka wa pili mfululizo, mechi ya kwanza tukapigwa 2 - 0 na Atletico ya Burundi, Kavumbagu akiwa na timu hiyo akitupia na kutuadhibu. Fainali tukaingia Koni Chapati aka Azam FC tukawakalisha bao 2 - 0. Magoli ya Hamis Kiiza na Said Bahanuzi
Mwaka huu 2015: Tanzania wenyeji tena, mechi ya kwanza leo tumefungwa 2 - 1 na Gor Mahia ya Kenya.
WALE WANANCHI WOTE AMBAO BADO WANA IMANI NA TIMU YETU KAMA MIMI ADMIN WENU TUGONGE LIKE. WALE WASIO NA IMANI KAENI KIMYA TU.

VIMECHI VIWILI TU NO COMPLICATION


TUJARIBU KUANGALIA MIKEKA YA MISIMU ILIYO PITA


nini hatima ya Arda Turan baada ya barcelona kulamba rungu la fifa?

Inasemekana mchezaji Arda Turan aliyesajiliwa na Barcelona msimu huu wa usajili akitokea Athletico Madrid anaweza patikana kwa mkopo wa miezi sita kwa timu itakayo hitaji huduma yake.
Liverpool pia ambao wamekuwa wakimuwinda mchezaji huyo wanaweza mpata Arda Turan kwa mkopo wa miezi sita kwa kuwa hatoweza chezea Barcelona mpaka ipite miezi sita hii inatokana na adhabu waliyopewa na fifa.
Adhabu hiyo inaisha 2016 hivyo itamfanya mchezaji huyo aanze kuitumikia timu hiyo.
Kwa kuwa ni ngumu kwa mchezaji kariba ya turan kukaa nje ya timu kwa miezi sita bila kucheza watafiti wa mambo wanasema anaweza tafuta timu akacheza kwa mkopo wa miezi sita.
Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 28 amesema ni vigumu yeye kukaa nje miezi sita hivyo hivi sasa anakabiriwa na maamuzi magumu aidha kubaki camp nou na kufanya mazoezi au kwenda timu nyingine kwa mkopo kwani anachokihitaji ni kuuzoea mfumo wa barca na mazingira yake.
Arda Turan inasemekana amenunuliwa kuchukua nafasi ya xavi ingawa ni wachezaji wawili tofauti ambao wanatofautiana kiuchezaji na sasa Enrique Luis ana kazi ya kumfanya mchezaji huyo aendane na mastaa wa timu hiyo.
Ngoja tuone atachagua nini kijana huyu wa kituruki,atakua wapi ndani ya miezi sita ni jambo la kusubiri.

Jul 17, 2015

Ipi ni njia nzuri ya kubeti(betting)?


Watu wengi wakisikia neno bet, moja kwa moja wanahuisha na mpira wa miguu, ni kweli wapo sawa ila betting siyo kwenye mpira wa miguu tu hata kwenye michezo kama cricket, basketball, ngumi na michezo mingine. Embu tungalie kwa upande wa mpira wa miguu ambo unaongoza kwakua na mashibiki wengi duniani. Kwa hapa Tanzania kuna makampuni mengi yanayo jihusisha na mechezo ya kubahatisha/bahati nasibuu mfano wa makampuni hayo ni m-bet a meridian ambayo yanaongoza kuwa na wateja wengi.
Tuangangalie kwa uande wa m-bet. Ukifuata hatua hizi utaweza kuwa unashinda katika ubashiri utakaofanya :-
1. usiweke mechi nyingi kwa mkeka mmoja/ticket. Hii ni kwasababu unapoweka mechi nyingi katika mkeka mmoja unapunguza uwezekano wa wewe kushinda. Japo kuwa wengi wanawaza kupata hela nyingi lakini wanasahau kuangalia uwezekano wa kushinda. Ni kweli kwamba ukiweka mechi nyingi ndio hela inaongezeka ila uwezekano wakushinda unapungua, ndiyo maana wenye makampuni hawaruhusu kubeti/kutandika mkeka wa mechi moja .angallia mfano hapo chini

2. Zijue timu unazozibetia/ ambazo unazitabiria : kujua timu kabla ya kubeti ni jambo muhimu sana kwa sababu kunatimu ni mahasimu sana katika ligi fulani. Kwa mfano ligi kuu vodacom wakicheza simba na yanga, hata kama simba akiwa anashika nafasi za mwishoni katika ligi hatakubali kufungwa kirahisi na yanga kwa hiyo mechi itakua naupinzani mkali. Mara nyingi zikikutana timu kama hizi matokeo huishia kuwa droo/draw au utofauti mdogo wa magoli kwa mfano mechi inaweza kuisha 0-0, 1-1, 2-2, na sare nyinine au 1-0, 0-1, 2-1, 3-2. kwahiyo kwa timu kama hizi usibeti kwamba timu fulani itashinda kwa tofauti ya magoli mawili au zaidi. Pia kingine atika kuzijua timu jaribu kuangalia kama kuna timu ni kibonde wa mwingine. Kwa mfano asernal ni mteja wa man united mara kwa mara, kwahiyo jaribu kuangalia nani anamfunga mwenzake mara kwa mara kisha mpe.


3.usibetie timu kwa sababu ya ushabiki: hiki ni kitu cha kuzingatia kwani wengi wwamekua wakibet kwa sababu tu ya mapenzi ya katika timu fulani. Ushauri ni bora usibetie timu unayoipenda kama uwezi kazuia hisia zako, kwani hisia zinamzuia mtu kuichambua timu anoyo ishabikia

4.Angalia goal differences/ tofauti ya magoli ya kufunga na kufungwa: ni vizuri kuangalia tofauti ya magoli kwa zile timu ambazo unataka kuzibetia na hii ni nzuri hususani kwa wale ambao watakua wanabeti kama timu zote zitafunga. Kwa mfano kama timu inamagoli mengi ya kufunga kuliko ya kufungwa ni wazi kwamba timu hii haifungwi mara kwa mara kwa hiyo ikikikutana/kucheza na timu ambayo ina magoli mengi sana ya kufugwa kuliko ya kufunga, hii inaonyesha kuwa hii timu itafungwa bila yenyewe kufunga kwahiyo kama uliweka both team will score “yes” huo mkeka utakua umechanika.
NB: hii haimanishi kwamba itakua hivyo kwa mechi zote ila ni kwamba uwezekano mkubwa/ possibility ipo hivyo 

5. Cheza kwa kiasi mchezo huu. Usiwe na tamaa kwamba unaweza pata pesa nyingi kwa mara moja kwahiyo ukacheza hovyo bila mpangilio, hutaumia. Jaribu kuweka mikakati na mipangilio juu ya uchezaji wako, hakika hutajuta. Cheza mechi chache kwa siku unazoamini zinaweza kukupatia ushindi sio lazima ubashiri mechi nyingi kwa mkupuo. Hii itakusaidia wewe kukupa ushindi mara nyingi

6. Usibashiri kwa mapenzi ama ushabiki, eti kwa kuwa mimi ni mshabiki wa liverpool Fc basi ndo nakuwa naitabiria ushindi kila mara, angalia uwezo wa timu yako dhidi ya timu pinzani kama inaweza shinda na hii itakuwa rahisi endapo utakuwa mfuatiliaji mzuri pia wa ligi ama mchezo unaobashiri