Watu
wengi wakisikia neno bet, moja kwa moja wanahuisha na mpira wa miguu,
ni kweli wapo sawa ila betting siyo kwenye mpira wa miguu tu hata
kwenye michezo kama cricket, basketball, ngumi na michezo mingine.
Embu tungalie kwa upande wa mpira wa miguu ambo unaongoza kwakua na
mashibiki wengi duniani. Kwa hapa Tanzania kuna makampuni mengi
yanayo jihusisha na mechezo ya kubahatisha/bahati nasibuu mfano wa
makampuni hayo ni m-bet a meridian ambayo yanaongoza kuwa na wateja
wengi.
Tuangangalie kwa uande wa m-bet. Ukifuata hatua hizi utaweza kuwa
unashinda katika ubashiri utakaofanya :-
1.
usiweke mechi nyingi
kwa mkeka mmoja/ticket.
Hii ni kwasababu unapoweka mechi nyingi katika mkeka mmoja unapunguza
uwezekano wa wewe kushinda. Japo kuwa wengi wanawaza kupata hela
nyingi lakini wanasahau kuangalia uwezekano wa kushinda. Ni kweli
kwamba ukiweka mechi nyingi ndio hela inaongezeka ila uwezekano
wakushinda unapungua, ndiyo maana wenye makampuni hawaruhusu
kubeti/kutandika mkeka wa mechi moja .angallia
mfano hapo chini
2.
Zijue timu
unazozibetia/ ambazo unazitabiria
: kujua timu kabla ya kubeti ni jambo muhimu sana kwa sababu kunatimu
ni mahasimu sana katika ligi fulani. Kwa mfano ligi kuu vodacom
wakicheza simba na yanga, hata kama simba akiwa anashika nafasi za
mwishoni katika ligi hatakubali kufungwa kirahisi na yanga kwa hiyo
mechi itakua naupinzani mkali. Mara nyingi zikikutana timu kama hizi
matokeo huishia kuwa droo/draw au utofauti mdogo wa magoli kwa mfano
mechi inaweza kuisha 0-0, 1-1, 2-2, na sare nyinine au 1-0, 0-1, 2-1,
3-2. kwahiyo kwa timu kama hizi usibeti kwamba timu fulani itashinda
kwa tofauti ya magoli mawili au zaidi. Pia kingine atika kuzijua
timu jaribu kuangalia kama kuna timu ni kibonde wa mwingine. Kwa
mfano asernal ni mteja wa man united mara kwa mara, kwahiyo jaribu
kuangalia nani anamfunga mwenzake mara kwa mara kisha mpe.
3.usibetie
timu kwa sababu ya ushabiki:
hiki
ni kitu cha kuzingatia kwani wengi wwamekua wakibet kwa sababu tu ya
mapenzi ya katika timu fulani. Ushauri ni bora usibetie timu
unayoipenda kama uwezi kazuia hisia zako, kwani hisia zinamzuia
mtu kuichambua timu anoyo
ishabikia
4.Angalia
goal differences/ tofauti ya magoli ya kufunga na kufungwa:
ni vizuri kuangalia tofauti ya magoli kwa zile timu ambazo unataka
kuzibetia na hii ni nzuri hususani kwa wale ambao watakua wanabeti
kama timu zote zitafunga. Kwa mfano kama timu inamagoli mengi ya
kufunga kuliko ya kufungwa ni wazi kwamba timu hii haifungwi mara kwa
mara kwa hiyo ikikikutana/kucheza na timu ambayo ina magoli mengi
sana ya kufugwa kuliko ya kufunga, hii inaonyesha kuwa hii timu
itafungwa bila yenyewe kufunga kwahiyo kama uliweka both team will
score “yes” huo
mkeka utakua umechanika.
NB:
hii haimanishi kwamba itakua hivyo kwa mechi zote ila ni kwamba
uwezekano mkubwa/ possibility ipo hivyo
5. Cheza kwa kiasi mchezo huu. Usiwe na tamaa kwamba unaweza pata pesa nyingi kwa mara moja kwahiyo ukacheza hovyo bila mpangilio, hutaumia. Jaribu kuweka mikakati na mipangilio juu ya uchezaji wako, hakika hutajuta. Cheza mechi chache kwa siku unazoamini zinaweza kukupatia ushindi sio lazima ubashiri mechi nyingi kwa mkupuo. Hii itakusaidia wewe kukupa ushindi mara nyingi
6. Usibashiri kwa mapenzi
ama ushabiki, eti kwa kuwa mimi ni mshabiki wa liverpool Fc basi ndo nakuwa
naitabiria ushindi kila mara, angalia uwezo wa timu yako dhidi ya timu
pinzani kama inaweza shinda na hii itakuwa rahisi endapo utakuwa
mfuatiliaji mzuri pia wa ligi ama mchezo unaobashiri
5. Cheza kwa kiasi mchezo huu. Usiwe na tamaa kwamba unaweza pata pesa nyingi kwa mara moja kwahiyo ukacheza hovyo bila mpangilio, hutaumia. Jaribu kuweka mikakati na mipangilio juu ya uchezaji wako, hakika hutajuta. Cheza mechi chache kwa siku unazoamini zinaweza kukupatia ushindi sio lazima ubashiri mechi nyingi kwa mkupuo. Hii itakusaidia wewe kukupa ushindi mara nyingi
Umeongea kitu cha msingi sana bro
ReplyDeletepamoja
DeleteUmenifumbuwa macho broo
DeletePoint hiyooo umetugusaaaa!!! Wazee wa mikeka ❤⭐⭐⭐⭐⭐⭐🌙✨✨✨✨💢💢👍👍👍👍👍👍👍👊👊👊👊👊👊👌👌👌👌👌👌👆👆👆👆💪💪💪💪💪💪💪✌✌✌✌✌✌🌴🌴🌴🌴🌵🌵🌵🌵
ReplyDelete🏀🏈🎾⚾⚽🚲🏁®©
This comment has been removed by the author.
Deleteur welcome bro
DeleteAsante endeleni kufuatilia tandika mkeka kila mara kupata info nyingi
ReplyDeletesafi sana
ReplyDeletesijui jinsi ya kuangalia point.
ReplyDeleteHandcap inamaana gani
ReplyDeleteinamaana timu moja inapewa goli/magoli kwa mfano imeandikwa H (+1) A (0)
ReplyDeletehapo inamanisha timu inayocheza katika uwanja wake wa nyumbani (HOME TEAM) impewa goli moja kwa hiyo kama ulisema timu ya nyumbani itashinda lakini ikatoka draw ya moja moja (1-1) utakuwa mkeka wako umeshinda kwani timu ya nyumbani itakua ina goli moja kwa hiyo matokeo kwako utasoma (2-1) na kama ukitaka kuweka draw kwa kutumia handcap inamanisha ni ya ugenini inabidi ishinde kwa tofauti ya goli moja kwa mfano matokeo uwanjani yanasoma hivi (0-1) hayo matokeo ukiyaleta kwa handcap yatasoma hivi (1-1) kwani timu ya nyumbani ilishapewa goli kabla hata mechi haijanza ila ikitokea timu ya ugenini meshinda kwa zaidi ya tofauti ya goli mbili hiyo itakua si draw bali ndivyo timu ya ugenini inatakiwa kupata ushindi kwa kutumia handcap
Sorry kwenye half time&fultime/2.5/1.5
ReplyDeleteWeb ya Play master/pm bet.
Hii
Inamaana gan??
1/1 over 2.5/u2.5.
Je kwenye magoli zaidi 7 na9 inamaana gani!
ReplyDeleteKwenye prime kuna mahali wameandika haifany/full-time most goal kwa wao wanamaanisha nn maana cwaelew kila natumia hcho kpengele
ReplyDeleteFact
ReplyDelete0657411986 naomba niungwe kwenye grp la m bet
ReplyDeleteThis comment has been removed by the author.
ReplyDeleteNimependa ulivyoelezea, nimetumia article yako kujibu swali hapa na nika link na post yako.
ReplyDelete0758590431 niuge kwenye group la kubet
ReplyDeleteBro umetixh yote ni sahihi xna
ReplyDeleteNiungeni kwenue grup la kubet 0623116602
ReplyDeleteNiunge kweny group la kubet 0755744963
ReplyDelete