Wachezaji Divock Origi na Philippe Coutinho wamefunga magoli katika maandalizi ya msimu mpya Premier League dhidi ya HJK.
Danny Ings alitoka na kuingia Divock Origi dakika ya 63 na kupata goli lake dakika ya 73.
Philippe Coutinho aliongeza goli la pili na kuwapa ushindi wageni hao na kumaliza ziara.
Toa comment zako kuhusu usajili mpya
No comments:
Post a Comment