PATA GARI LA BURE

PATA GARI LA BURE
bonyeza neno APPLY kwenye picha juu ujishindie gari

Oct 22, 2015

HIKI NDICHO ALICHO SEMA KLOP

Hii ndio Mara yng ya kwanza kua manager wa Liverpool nikiwa ktk benchi la Liverpool ktk Uwanja wa Anfield.
>>Hii kitu ni muhimu sana kwangu na jopo langu la ufundi.
Nyie(mashabiki)MNA nafasi kubwa sana ktk mchezo,nanyi mnatakiwa mcheze kwa nafasi yenu.
Katika kile tunachotegemea kukipata basi nyinyi MNA mchango mkubwa sana.
Nyie ni Mashabiki wa tofauti sana Duniani,na hua mnaifanya Anfield kua ni Uwanja wa KIPEKEE na wenye HAMASA KUBWA SANA.
Basi naamini tukiungana kwa pamoja tutafanikiwa ktk lengo letu tunalotaka kufikia,na hasa ktk kutimiza malengo yetu.
Tunatakiwa kufurahi na kujivunia mafanikio makubwa ya Club hii iliyonayo,mpira ni sehem KUBWA ya kufurahi na tunatakiwa kufikia malengo makubwa ya muda wote ya Taasisi hii.
Wachezaji watakwenda pigana kwa ajili yenu na kuwakilisha Club na Jiji hili.
Na hivi ndio tunatakiwa kufanya kazi ktk kukamilisha jukumu letu.

Oct 17, 2015

Jürgen KLOPP nasheria mpya liverpool

Jürgen KLOPP asema
"MELWOOD NI MAKAO MAKUU YA MPIRA"
>>Ni Marufuku ss kwa Wachezaji kutembelewa au Kuja na Wake zao au Marafiki wao wa Kike.
>>Ni Marufuku kutumia mitandao ya Kijamii(social network) mara tu uingiapo Melwood.
>>Apunguza mapumziko na kuongeza mda wa kufanya mazoezi zaidi.
Jürgen KLOPP akitambulisha maisha mapya sasa ktk Club ya Liverpool na kuweka masharti mapya kadhaa,asema Melwood ni Uwanja wa mazoezi na si sehem ya kuja na wake zenu au marafiki zenu wa kike.
Pia aweka wazi mda wa wachezaji wote kufika mazoezini,KLOPP aliwaambia "Melwood ni Makao Makuu ya Mpira" mambo ya kutumia mitandao ya kijamii(social network)basi yafanyike nje ya Melwood.
Na akiendelea kusema,unapokua Melwood basi jua uko eneo la kazi na kinachotakiwa ni kufikiria ni kufanya kazi zaidi tu,na si vinginevyo.
Akiwaweka wazi zaidi kama alivyokua akifanya Borrusia Dortimund (BvB) ni kua kuanzia ss wake na marafiki zao wa Kike hawataruhusiwa kufika hapo wakati wa mazoezi labda tu kama kutajitokeza taarifa nyingine.
Mjerumani huyo pia amewafahamisha kua mda wa mapumzimko umepungua zaidi na kuongezwa kwa mda wa kufanya mazoezi zaid,KLOPP amekusudia kabisa sasa kuirudisha LIVERPOOL ktk enzi zake na kuifanya kua moja ya timu ngumu sana kupambana nayo katika ligi kuu ya Backleys(BPL)
Kwa sasa tutafanya mazoezi kwa vipindi viwili na kwa mda mrefu kadri itakavyowezekana katika kuongeza nguvu zaidi kama alivyokua akifanya na BvB,aliongeza Mjerumani huyo mwenye umri wa miaka 48 sasa

Alex Sanchez

Zilitoka ripoti kwamba Real Madrid wanaandaa
pesa kwa ajili ya kumsajili mchezaji ambae
anatoa msaada mkubwa kwenye kila ushindi wa
Arsenal hivi sasa Alex Sanchez.
Real Madrid inasemekana wameshatenga fungu
kwa ajili ya kupata huduma ya mchezaji huyu
kwenye club yao. Sasa Sanchez amezungumza
kwenye chombo cha habari na kujibu hizi tetesi.
“Nina furaha sana kwa sasa ndani ya Arsenal,
sifikirii kuhama Arsenal kwa sasa. Siku zote
nataka kufanya vizuri kwenye kila
ninachokifanya, nafurai sasa hivi nafanya zaidi
ya nilivyotaka kuonyesha siku zote.”. Haya ni
maneno ya Alex Sanchez baada ya kuulizwa
kuhusu tetesi za kusepa Arsenal na kujiunga na
Real Madrid

RATIBA YA SOKA LEO JUMAMOSI 17/10/2015


★Barclays Premier League
2:45 PM - Tottenham Hotspur vs Liverpool
5:00 PM - Chelsea vs Aston Villa
5:00 PM - Crystal Palace vs West Ham United
5:00 PM - Everton vs Manchester United
5:00 PM - Manchester City vs AFC Bournemouth
5:00 PM - Southampton vs Leicester City
5:00 PM - West Bromwich Albion vs Sunderland
7:30 PM - Watford vs Arsenal

★Spanish Primera División
5:00 PM - Real Madrid vs Levante
7:15 PM - Eibar vs Sevilla FC
9:30 PM - Barcelona vs Rayo Vallecano
11:00 PM - Valencia vs Malaga
11:05 PM - Real Betis vs Espanyol
★German Bundesliga
4:30 PM - FC Augsburg vs SV Darmstadt 98
4:30 PM - Hamburg SV vs Bayer Leverkusen
4:30 PM - Schalke 04 vs Hertha Berlin
4:30 PM - VfL Wolfsburg vs TSG Hoffenheim
4:30 PM - Werder Bremen vs Bayern Munich
7:30 PM - Eintracht Frankfurt vs Borussia Monchengladbach
★Italian Serie A
7:00 PM - AS Roma vs Empoli
9:45 PM - Torino vs AC Milan
★French Ligue 1
6:00 PM - Bastia vs Paris Saint-Germain
9:00 PM - Guingamp vs Lille
9:00 PM - Nantes vs Troyes
9:00 PM - St Etienne vs GFC Ajaccio
9:00 PM - Stade de Reims vs Caen
9:00 PM - Toulouse vs Angers