PATA GARI LA BURE

PATA GARI LA BURE
bonyeza neno APPLY kwenye picha juu ujishindie gari

Oct 17, 2015

Jürgen KLOPP nasheria mpya liverpool

Jürgen KLOPP asema
"MELWOOD NI MAKAO MAKUU YA MPIRA"
>>Ni Marufuku ss kwa Wachezaji kutembelewa au Kuja na Wake zao au Marafiki wao wa Kike.
>>Ni Marufuku kutumia mitandao ya Kijamii(social network) mara tu uingiapo Melwood.
>>Apunguza mapumziko na kuongeza mda wa kufanya mazoezi zaidi.
Jürgen KLOPP akitambulisha maisha mapya sasa ktk Club ya Liverpool na kuweka masharti mapya kadhaa,asema Melwood ni Uwanja wa mazoezi na si sehem ya kuja na wake zenu au marafiki zenu wa kike.
Pia aweka wazi mda wa wachezaji wote kufika mazoezini,KLOPP aliwaambia "Melwood ni Makao Makuu ya Mpira" mambo ya kutumia mitandao ya kijamii(social network)basi yafanyike nje ya Melwood.
Na akiendelea kusema,unapokua Melwood basi jua uko eneo la kazi na kinachotakiwa ni kufikiria ni kufanya kazi zaidi tu,na si vinginevyo.
Akiwaweka wazi zaidi kama alivyokua akifanya Borrusia Dortimund (BvB) ni kua kuanzia ss wake na marafiki zao wa Kike hawataruhusiwa kufika hapo wakati wa mazoezi labda tu kama kutajitokeza taarifa nyingine.
Mjerumani huyo pia amewafahamisha kua mda wa mapumzimko umepungua zaidi na kuongezwa kwa mda wa kufanya mazoezi zaid,KLOPP amekusudia kabisa sasa kuirudisha LIVERPOOL ktk enzi zake na kuifanya kua moja ya timu ngumu sana kupambana nayo katika ligi kuu ya Backleys(BPL)
Kwa sasa tutafanya mazoezi kwa vipindi viwili na kwa mda mrefu kadri itakavyowezekana katika kuongeza nguvu zaidi kama alivyokua akifanya na BvB,aliongeza Mjerumani huyo mwenye umri wa miaka 48 sasa

No comments:

Post a Comment