Aug 16, 2015
CHELSEA WAMEJARIBU KUPAKI BASI LAKINI IMESHINDIKANA
kocha wa chelsea alifikiri akimuweka kando daktari wa wachezaji (Eva Carneiro) ataweza kuibuka na ushindi. hii inonekana kwamba munrriho alikua amesha abiri matokeo. pamoja nakutumia mbinu mbalimbali lakini zote ziligonga mwambwa. mpaka mpira unakwisha Chelsea ilikuainaongoza kwa kumiliki mpira kwa asilimia 51. magoli ya city yalifungwa na Sergio Aguero dakika ya 31,Vincent Kompany dakika ya 79 na Fernandinho dakika ya 85
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment