Aug 26, 2015
Mario Balotelli sitaki maneno nataka kufanya kazi
Mchezaji Mario Balotelli amejiunga na AC Milan kwa mkopo wa muda mrefu akitokea timu ya Premier League ya Liverpool na haraka amesema hataki kuongea sana maneno zaidi ya kufanya kazi yake kwa bidii.
Balotelli amekuwa na msimu usiokuwa na mafanikio akiwa katika kikosi cha Brendan Rodgers, huku akishindwa kupasia nyavu za wapinzani na kuishia akiwekwa benchi kwa michezo mingi ya Premier League.
Je! Balotelli ataweza kurudisha makali yake yaliyoyeyuka akiwa na Liverpool!
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment