PATA GARI LA BURE

PATA GARI LA BURE
bonyeza neno APPLY kwenye picha juu ujishindie gari

Aug 12, 2015

LUIS SUAREZ KWENYE TUZO ZA UEFA

Mshambuliaji kutoka Uruguay, anayeichezea Barcelona, Luis Suarez, ametajwa katika orodha ya wachezaji watatu wanaowania tuzo ya UEFA ya mchezaji bora wa Ulaya. Suarez anaungana na mshambuliaji mwenzake wa Barcelona Lionel Messi na vilevile katika orodha hiyo yuko hasimu wake Messi, Cristiano Ronaldo. Messi na Ronaldo walifunga mabao 77. UEFA wamesema wachezaji hawa watatu walipata kura nyingi zilizopigwa na waandishi wa habari kutoka katika orodha ya wachezaji kumi. Waandishi hao wa habari wapatao 54 ndio watamchagua mshindi wa tuzo hii ya mwaka 2014-15, tarehe 27 Agosti mjini Monaco. Siku hiyo pia ni ya droo ya Klabu Bingwa Ulaya.

No comments:

Post a Comment