PATA GARI LA BURE

PATA GARI LA BURE
bonyeza neno APPLY kwenye picha juu ujishindie gari

May 27, 2017

ARSENAL YAIKOMALILIA CHELSEA BILA HURUMA


Image may contain: 2 people, people playing sports and outdoorMagoli ya Arsenal yamefungwa na Alexis Sanchez dakika ya 4 na goli la pili lililowapa Arsenal ubingwa ni goli la Aaron Ramsey dakika ya 79, aliyepokea pasi nzuri kutoka kwa Olivier Giroud . na goli pekee la chelsea limefungwa na Diego Costa ambalo lilifungwa dakika ya 76. Arsenal inakua timu ya tatu msimu huu kuchukua moja ya mataji yaliyokuwa yakiwaniwa inchini England, ambapo Chelsea ikichukua kikombe cha ligi kuu, man U akichukua vikpmbe viwili na kikombe kimoja cha Europa wakati Arsenal akichukua kombe la FA.
 Image may contain: one or more people, people playing sports and outdoor

No comments:

Post a Comment