PATA GARI LA BURE

PATA GARI LA BURE
bonyeza neno APPLY kwenye picha juu ujishindie gari

May 30, 2017

MACHESTER UNITED NA CITY WANAJIANDAA KUWAPATA WAKALI HAWA WA TOTTENHAM

Tottenham wamejianda kumpoteza  Danny Rose katika majira  ya  joto ambapo anatarajiwa kutua  Manchester United.
 Jose Mourinho ambaye amejipanga kusajili mlinzi wa kushoto na jicho lake amelielekeza kwa Danny Rose kama kipaumbele kwa msimu ujao kwani inaonekana mlinzi wa United Luke Shaw milango ipo wazi kwa yeye kuondoka baada ya kupata majeraha ya muda mrefu na ya mara kwa mara.

     Kocha wa Manchester City  (Pep Guardiola) ameshanza jitihada za kuppata sahihi  Kyle Walker katika majira ya joto. Kuondoka kwa Rose na Walker itakua pigo kubwa kwa Tottenham

walkerTottenham wanajitahidi kuwafanya  wachezaji wao muhimu kubaki kwenye kikosi chao na kama ikishindika wamejianda kutumia njia tofauti kuziba mapengo ya wachezaji hao. 


SHIRIKI SHINDANO HILI UJISHINDIE GARI BURE KABISA. BONYEZA LINK HAPO CHINI KUSOMA MAELEKEZO  
 >>>>>>>>>>Bofya hapa kusoma maelekezo<<<<<<<<<<< 

No comments:

Post a Comment